Wednesday, May 29, 2013

MAFANIKIO NI HATUA

 
 

MAFANIKIO NI HATUA ni segment mpya katika blog ambayo ina lengo la kukuhabarisha, kukufikirisha na kukuchangamotisha wewe msomaji kuhusu nini maana ya mafanikio, juhudi mbalimbali ambazo hufanywa na watu waliofanikiwa, njia ambazo yapasa kuzifuata kuyafikia mafanikio yako,kwa nini watu wengi hutamani kuafanikiwa lakini hawafikii yale mafanikio..fuatana nami hapa hapa blogini! Na leo nataka nikufikirishe zaidi..

Kama wanadamu kila dakika inayopita huwa tunafanya maamuzi ya kile tunachotaka kuwa, maamuzi ya kufungua biashara mpya, kuanzisha kampuni, kuwa mjasiliamali, kuwa mkulima ,kutafuta kazi nyingine, kuoa/ kuolewa, kujenga nyumba nyingine, na kadhalika na kadhalika.

Kaa ukijua kuwa, njia yoyote utakayoichagua, kumbuka kuwa hutakua peke yako, ushindani sio kitu cha kuchagua ni lazima utakutana nao. Namna mbalimbali za kufanya vitu zilishavumbuliwa miaka mingi iliyopita, na hata hicho unachofikiri kufanya hakitakua kipya chini ya jua.Tayari kuna mtu alishawahi kufikiri kufanya hivyo pia!



Hebu tufikiri pamoja, kwa mfano unataka kufungua biashara ndogo ya kuuza matunda, na una kila malighafi inyohitajika.Matunda unayo na una namna ya kuyapata huko baadae, vifungashio unavyo,na unafikiri itakua ni biashara nzuri sana.
Kabla hujachukua hatua ya kuanza biashara yako,unatafuta eneo ambalo ndio utakua unafanyia biashara zako. Eneo ambalo unapata, tayari unakuta kuna mtu anafanya biashara kama ile ile ya kwako unayowaza kuja kuifanya hapo!Je, utabadilisha mawazo na kufanya biashara nyingine?

Kama uko focused, hutaacha, kwa sababu hiyo ndio njia unayotaka kuiendea.
Kuna wakati katika maisha tuna pita na kukanyaga kule ambapo wengine wamepita na kukanyaga,tunaishi yale maisha ambayo wengine wameishi, lakini ukweli ni kwamba,haijalishi ni watu wangapi wanaonekana kufanya kile ambacho wewe unataka kufanya, haijaishi ni hatua ngapi unaziona zimeshakanyaga pale unapotaka kukanyaga,hakuna anayeweza kukanyaga kama wewe. Hakuna anayeweza kufanya vitu kama ambavyo wewe utafanya.Kwa sababu tumeumbwa tofauti, na kila mtu ana kitu cha tofauti ndani yake. Haijalishi wanaouza matunda ni wangapi, lakini hawafanani, huduma zao hazifanani, haijalishi mafundi vyerehani wako wangapi, lakini hawafanani, kila mmoja ana kitu chake unique.
Njia utakayoichagua ni njia yako, haijalishi ushindani utakao kuwepo, as long as you are sure that it is your path, follow it!
Katika kufanya uamuzi wa kuifuata njia ulioichagua, kuna changamoto ambazo utakutana nazo.. ungana nami wiki ijayo hapa hapa kwenye blog ntakapoongelea changamoto hizo.

Thursday, May 9, 2013

How Saying the Right Things Can Change Your Life!


by Joyce Meyer

I started smoking when I was nine years old and smoked for many years. I liked it! So when I decided to stop, it was really difficult.
Every time I tried to quit, I’d last a few hours and then I’d be running around, digging cigarette butts out of the trash or looking for cigarettes in my coat pockets – anywhere I could think to look for them!
I didn’t have success until I got a revelation: I was burying myself in defeat with negative confessions.

Why I Had to Stop Talking Myself Out of My Victory

I finally realized that I was causing myself to fail through the negative things I was saying about myself. For a long time I would say, “I just know I could never quit smoking. And if I did, I’d probably gain a lot of weight.”
Thankfully, God was able to get through to me eventually and help me see that if I didn’t change my confession, I wouldn’t change. Then, He began to put desires in my heart to start speaking what I wanted, not what I had.
I started saying things like, “I can’t stand to smoke! These things stink and they’re expensive. I don’t smoke anymore!”
At first, I felt silly doing this because I would make these declarations while I was smoking. However, within about a week of changing my confession, I realized I now had the grace of God to quit smoking.
What I learned from this is I cannot rise above my own confession.

How God Taught Me to Talk Like Him

Proverbs 18:21 says, “Death and life are in the power of the tongue…” And Hebrews 4:14 (AMP) says we should “hold fast our confession [of faith in Him]”
Confession means “to say the same thing as.” As the High Priest of our confession, Jesus can only do what we’re saying that agrees with His Word. So it’s vital for us to learn how to speak the Word of God and not just say things based on our feelings or even what others have said about us.
I believe we’ll have greater success with this if we concentrate on what we should be saying, rather than focusing on all the things we shouldn’t say. It’s self-defeating to go around saying things like, “I shouldn’t do that… I’d better not do this…”
I want to encourage you to really listen to yourself. Where’s your heart? See Luke 6:45. We need to stop saying, “Oh, I didn’t mean that. I was just kidding.” And we need to start being accountable for the words we speak.
The truth is, the things we say come from something that is formed in our heart. So you can determine where your heart is by listening to yourself. You can hear bitterness and jealousy…insecurity and unhappiness.

What Changing the Way You Talk Will Do

“We all have room to grow in our relationship with God.”
Do you need a change of heart? All of us do. We all have room to grow in our relationship with God.
And the way to make progress is to speak His language…
  • Bless everything you can possibly bless. James 3:8-10 says we have the power to bless or curse with the words of our mouth.
  • Be thankful and say so! (See Psalm 100:4.) Don’t just think about how much you appreciate someone – tell them!
  • Be an encourager. Give someone an encouraging word every day.
  • Tell the truth!
  • Speak the Word of God. Recite and memorize verses that deal with things you want to change or overcome – anger, unforgiveness, insecurity…
  • Don’t talk too much. Be quick to hear and slow to speak.
I encourage you to pray and ask God to help you use your mouth to say the right things. When you do, it will change your life!

Saturday, May 4, 2013

HATIMAYE AFLEWO TANZANIA 2013 KUFANYIKA JANA MAY 3, 2013 PALE BCIC

Ule Mkesha Mkubwa wa Aflewo (Africa Lets Worship) ambao hufanyika mara moja kwa mwaka, umfanyika usiku wa leo katika Kanisa la BCIC Mbezi Beach. Mkesha huo ambao ni Maalum kwa ajili ya Kusifu, Kuabudu na Kuombea bara la Africa Umehudhuriwa na Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam na Vitongoji Vyake.

Mkesha huo ulifunguliwa rasmi na Askofu Sylvester Gamanywa kwa maombezi maalum ya Kuombea Taifa la Tanzania. Pia katika Mkesha huo kulikuwa na team ya watu kutoka Mwanza, Zanzibar na Moshi kwa ajili ya kupata uzoefu wa kuandaa aflewo katika Mikoa hiyo.
 
 Bishop Sylvester Gamanywa  akifungua mkesha
 
 
It was awsome!

Aflewo mass choir


Ma MC wa event wakiwa kazini

Pastor Safari akiongoza wimbo

Pastor Abel akimwabudu Mungu

Madhabahu ya Mungu yamejengwa Tanzania

Jembe la Bwana, Joel  akiwa kazini

Sound team..
 
Music director wa Aflewo 2013, Sammy akiongoza wimbo

Ilikua furaha na shangwe

Dr. Ona akiongoza wimbo wa 'He'a Able'
 
 

Watu people
MTBC praise team ndani ya AFLEWO

Mama Mchungaji MTBC akimsifu Mungu

Dancing team from DPC walikuwepo

The Voice pamoja na Angel Magoti nao walikuwepo

Prohpet Rose Mushi akiongoza maombi

Pastor Dickson wa MTBC Moshi akiongoza maombi

Thursday, May 2, 2013

PRESS CONFERENCE ILIYOFANYIKA LEO TAR 02 MAY 2013 IKIWA NI MAANDALIZI YA AFLEWO TAR 03 MAY 2013

Tukiwa katika countdown ya kuelekea AFLEWO, yakiwa yamebaki masaa machache kuelekea tukio ambalo limesubiriwa kwa hamu kubwa na wakazi wa jiji la Dar na mikoa ya jirani, baadhi ya wanakamati wa AFLEWO walikua na Press conference na waandishi wa habari kuelezea nini hasa kitajiri katika AFLEWO siku ya Ijumaa tar 3 May 2013, pale BCIC Mbezi Beach kwanzia saa tatu usiku mpaka baadae.

 Mwaka huu 2013 kutakua na wageni toka Mwanza, Moshi na Zanzibar wanaokuja pia kujifunza Aflewo Ilivyo Kisha wanakwenda kuandaa AFLEWO kwenye mikoa yao.

Maono ya mwaka huu ya AFLEWO yakiwa ni kujenga madhabahu ya Mungu katika taifa letu.

Walio Pichani Kushoto ni Samuel Sasali, Mkurugenzi wa Habari Aflewo, Bishop Freddie Japhet Kyara Mlezi Wa Aflewo Tanzania, Pastor Paul Safari Mlezi wa Aflewo Tanzania, na Samuel Rodin Mwangati Music Director wa AFLEWO.

 
 

 

 
 

 
 
USIKUBALI KUKOSA!
 

Mimi nitakuwepo, wewe je? Usikoseee!


Monday, April 29, 2013

Train Yourself!

For as a man thinks in his heart, so is he. —Proverbs 23:7

I encourage you to practice being a positive person. It’s just a matter of breaking one bad habit and forming a new one. I was so negative at one time in my life that if I even tried to think two positive thoughts in a row my brain got into a cramp. But now I am very positive and actually don’t enjoy being with people who are negative.

Discipline is required any time you are forming a new habit. You might consider putting some reminders around your house or in your car, like little signs that say “Be positive.” Ask a good friend or spouse to remind you if they hear you slipping into negativism.

Practice trusting yourself rather than doubting yourself. If you are applying for a promotion at work, don’t think to yourself or say, “I probably won’t get it.” Pray and ask God to give you favor with your employer and then say, “I believe I will get the job!” And if you try and the outcome isn’t what you were hoping for, then tell yourself, “If the job was right for me, God would give it to me, and since He didn’t, He must have something even better in mind for me.” You can train yourself to be positive in what appears to be a negative situation.

Prayer: Lord, show me where I am stuck in negativity and need to break through to trusting You. Help me to have the right thoughts and attitudes that move me forward. Amen.

By Joyce Meyer

IBADA YA KUSIFU NA KUABUDU JANA DPC ILIKUA YA AINA YAKE!

Kama ilivyo kawaida kila jumapili ya mwisho wa mwezi tunakusanyika pale DPC kinondoni kwa ajili ya ibada kubwa ya kusifu na kuabudu, ambapo tunapata muda nzuri ya kumsifu na kumwabudu Mungu. Ndivyo ilivyokua pia jumapili hii ambapo wakazi wa Dar walikusanyika na kumsifu na kumwabudu Mungu.
Ilikua jioni ya tofauti kwa sababu uwepo wa Mungu ulikuwepo wa ajabu na watu walikutana na Mungu kwa namna ya tofauti.
 
 
 

Rivers of Life Worship Team wakiongoza watu katika kumsifu Mungu
 

 
 

 
 

 
 


Wednesday, April 17, 2013

Wamiliki blogu za dini waja na Chomoza


Pichani ni waanzilishi wa kipindi cha Chomoza Samuel Sasali na James Temu


WAMILIKI wa blogu za dini, James Temu na Samuel Sasali, wanatarajiwa kusikika katika kipindi kipya cha ‘Chomoza’ kitakachorushwa na Clouds TV.
Kipindi hicho, kitasheheni habari mbalimbali za muziki na wanamuziki wa injili, taarifa za injili nchini na burudani ya muziki wa ndani na nje ya Tanzania.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Temu na Sasali walisema kuwa kipindi hicho ni cha kinabii, kwani wazo la kukianzisha lilitengenezwa kwa neno la ufunuo wa Mungu mwenyewe.
“Kama ambavyo tumeanza kusema katika Isaya 60:1, Biblia inasema, ‘Arise and shine, your light has come’, tunaamini kuwa, huu ni muda wa kipindi cha kanisa kusimama, hiki ni kipindi cha watu kumjua Mungu, kupenya, kuibuka, kusimama kama ambavyo Shedrak, Meshack na Abdinego walivyochomoza katikati ya watu wa Babeli,” walisema.
Temu alisema kuwa mashabiki watapata ladha halisi ya ‘Chomoza’, kwa sababu kila atakayekuwa anatamka neno hilo la kinabii, maisha yake yatainuliwa. Kipindi hicho kitarushwa kila Jumapili kuanzia saa tano asubuhi.

Chanzo: Tanzania Daima 17, Apr 2013.


 
 

Monday, April 15, 2013

Leadership Essentials, from Dr. Myles Munroe's Desk.

 
 
Leaders must be people of…
 
 
 

Purpose—one who discovers a sense of purpose, governed by a sense of destiny.

Conviction—one who has beliefs they’ll never compromise on. Nelson Mandela was convicted by equality, Martin Luther King, Jr., by racism, Mother Teresa, by poverty. Great leaders do not vacillate in their convictions.

Vision—one who has a clear picture of the future. The leader must also be able to articulate that vision.

Passion—one who has a deep drive to pursue what they believe in, and the ability to inspire in their pursuit!

Inspiration—one who is able to inspire (breathe life into) others. If you fail to inspire, you will end up manipulating, and manipulation eventually leads to dictatorship.

Trust—one who can be trusted. We see the collapses in trust in government, clergy, politics, etc. Once you lose people’s trust, it ruins your leadership. Trust is the true currency of leadership. It’s developed when you observe someone who, even under stress and test, never abandons their convictions.

Integrity—one who is honest in secret and in public. They are the same in the night (dark) as in the day (light.) They deliver on exactly what they say and live out what they say. They must be “well-integrated” with themselves.

Influence—one whose character creates influence (the capacity to flow into another.) Once you influence a person, they will change or rearrange their priorities for your priorities.

Risk-Taker—one who attempts things they’ve never tried before. They must be bold and daring, and can’t be afraid to fail.

Mentor—one who understands that they are NOT permanent and can make room for the next generation through mentorship. Today, leaders don’t want to leave positions, assuming they inherit positions forever. However, forward thinking, 21st-century leaders know that they must transfer and deposit to the next generation. We need leaders who measure success by their successor, those who are more concerned about their legacy than their place or position.

Foundation—one who possesses deep spiritual and moral fabric. One who is not only accountable to men but also accountable to God. Any leader who is not accountable to God should not be trusted because, by default, they have become an authority unto themselves.

Saturday, April 13, 2013

SAFARI YA KUELEKEA AFLEWO 2013 DAR YAZIDI KUPAMBA MOTO

AFLEWO ni neno linalosimama badala ya "Africa Lets Worship", huduma ya kusifu na kuabudu, ambapo kunakua na mikesha ya kusifu na kuabudu na maombi kila mwaka katika nchi mbalimbali barani Africa.

Ilianzia Nairobi nchini Kenya mwaka 2004,na ina maono ya kuwa na usiku mmoja wa Kuomba,Kusifu na Kuabudu katika Africa ifikapo mwaka 2017.

Vison ya AFLEWO: " To stir up the hope of Jesus across Africa through annual events of Praise, Worship and Prayer by 2017"

Mnamo tarehe 3-5-2013 pale BCIC Mbezi Beach itakuwa ni usiku wa aina yake katika Kumsifu na Kumwabudu Mungu ambapo Aflewo Mass Choir yenye waimbaji zaidi ya 90 watapaza sauti zao wakiimba sifa kwa Mungu.
                                                                    

Usikubali Kukosa!
 
 


PICHANI  NI TEAM YA AFLEWO MASS CHOIR WAKIWA KATIKA MKESHA WA MAZOEZI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USIKU WA AFLEWO 2013 KATIKA KANISA LA DPC KINONDONI  HAPO JANA..
 




 

 

 

 
 
 
 

Tuesday, April 2, 2013

8th ANNIVERSARY YA MATAMASHA YA KUSIFU NA KUABUDU DPC Kinondoni, JUMAPILI YA PASAKA ILIKUA YA TOFAUTI



Siku ya Pasaka ilikua ni siku ya tofauti sana hasa kwa Dar es salaam Pentecostal Church (DPC) Kinondoni kwani ilikua pia siku ambayo waliadhimisha miaka Nane tangu kuanzishwa kwa Ibada za kila mwisho wa mwezi za kusifu na kuabudu zinazoongozwa na Rivers of Life Worship team mnamo mwaka 2005. Na kubwa zaidi ilikua ni mara ya Pili kuangukia jumapili ya Pasaka toka matamasha haya kuanzishwa mnamo mwaka 2005.
 
Pastor Paul Safari ambaye ni Mchungaji katika kanisa la DPC na ambae pia ni Mchungaji wa Praise and Worship anayelilea kundi hilo la Rivers of Life alisema Wanamshukuru sana Mungu kwa kuwawezesha kufikisha miaka 8 tangu kuanzishwa kwa Ibada hiyo ya kusifu na kuabudu hapo kanisani.
 
 Aliongezea kwa kusema tangu imeanza kila mwezi umekua wa tofauti na mwezi uliopita, na kila aliyeenda mwezi huu, hakuweza kukosa mwezi ujao. Wameuona mkono wa Mungu katika ibada za kila Mwezi na Mungu amekua mwaminifu kwao.
Wamepokea Shuhuda nyingi sana zilizotokana na Ibada hizo,
 na wanamrudishia Sifa na Utukufu Mungu kwa yote.
 
 
Rivers of Life Worship Team wakiwa madhabahuni
 
 
 


Pastor Paul Safari(Kulia) akielezea jambo  akiwa na mtafsiri Boniface Mrosso
 
 
 

AFLEWO 2013 team wakiimba katika  tamasha hilo
 
 

Ma MC wa siku hiyo Judith (kushoto) na Mhtunzi.
 


Watu wakimsifu Mungu
 
 

mashati bluu viti bluu, sijui ndio ilikua rangi ya siku..
 

Kwaya ya Faith Singers ya hapo hapo DPC wakiimba
 

Pastor Blessed akimwabudu Mungu, kweli alikua baraka kama jina lake
 


Pastor Julius Kenyamanyara akielezea jambo akiwa na mtafsiri Judith.
 
 

 
 

DPC Dancing group walimsifu Mungu kwa kucheza nao.
 


 

          Dancing team wakienda sawa
 
.
 
 
Kazi haikua ndogo..
 
 
Dada Rose akishuhudia jinsi alivyookoka kupitia Ibada hizi za mwisho wa mwezi


Kaka nae akishuhudia alivyokutana na Mungu kupitia Ibada hizi
 
 
 

Pastor Bale akienda sawa na Keyboard hapo


Pastor Julius na Jade Kenyamanyara




Shuhuda zaidi zilitolewa..

watu weweeeeeeeee

Yu Hai Jehovaaa,  Yu hai Mileleeee

Rivers of Life wakimsifu Mungu

Bwana Bwanaaaa

Haleluyaaaa

Kaka Benard Mwenyekiti wa Rivers of Life


Mtumishi wa Mungu John Lissu akilitendea haki gitaa




 

Chezea uwepo wa Mungu..

 




 Joyce na Josephine wakimwabudu Mungu
 
Bwana wastahili Kuabudiwa

Uwepo wa Mungu ulijaaaaaaaaa


 Haleluyaaaaaa
 
 
Ibada hizi hufanyika kila Jumapili ya Mwisho ya kila Mwezi hapo Kanisani DPC Kinondoni kwanzia saa Tisa mchana hadi saa moja jioni.
Karibu Sana!
 

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...