Saturday, April 13, 2013

SAFARI YA KUELEKEA AFLEWO 2013 DAR YAZIDI KUPAMBA MOTO

AFLEWO ni neno linalosimama badala ya "Africa Lets Worship", huduma ya kusifu na kuabudu, ambapo kunakua na mikesha ya kusifu na kuabudu na maombi kila mwaka katika nchi mbalimbali barani Africa.

Ilianzia Nairobi nchini Kenya mwaka 2004,na ina maono ya kuwa na usiku mmoja wa Kuomba,Kusifu na Kuabudu katika Africa ifikapo mwaka 2017.

Vison ya AFLEWO: " To stir up the hope of Jesus across Africa through annual events of Praise, Worship and Prayer by 2017"

Mnamo tarehe 3-5-2013 pale BCIC Mbezi Beach itakuwa ni usiku wa aina yake katika Kumsifu na Kumwabudu Mungu ambapo Aflewo Mass Choir yenye waimbaji zaidi ya 90 watapaza sauti zao wakiimba sifa kwa Mungu.
                                                                    

Usikubali Kukosa!
 
 


PICHANI  NI TEAM YA AFLEWO MASS CHOIR WAKIWA KATIKA MKESHA WA MAZOEZI KWA AJILI YA MAANDALIZI YA USIKU WA AFLEWO 2013 KATIKA KANISA LA DPC KINONDONI  HAPO JANA..
 




 

 

 

 
 
 
 

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...