Siku ya Pasaka ilikua ni siku ya tofauti sana hasa kwa Dar es salaam Pentecostal Church (DPC) Kinondoni kwani ilikua pia siku ambayo waliadhimisha miaka Nane tangu kuanzishwa kwa Ibada za kila mwisho wa mwezi za kusifu na kuabudu zinazoongozwa na Rivers of Life Worship team mnamo mwaka 2005. Na kubwa zaidi ilikua ni mara ya Pili kuangukia jumapili ya Pasaka toka matamasha haya kuanzishwa mnamo mwaka 2005.
Pastor Paul Safari ambaye ni Mchungaji katika kanisa la DPC na ambae pia ni Mchungaji wa Praise and Worship anayelilea kundi hilo la Rivers of Life alisema Wanamshukuru sana Mungu kwa kuwawezesha kufikisha miaka 8 tangu kuanzishwa kwa Ibada hiyo ya kusifu na kuabudu hapo kanisani.
Aliongezea kwa kusema tangu imeanza kila mwezi umekua wa tofauti na mwezi uliopita, na kila aliyeenda mwezi huu, hakuweza kukosa mwezi ujao. Wameuona mkono wa Mungu katika ibada za kila Mwezi na Mungu amekua mwaminifu kwao.
Wamepokea Shuhuda nyingi sana zilizotokana na Ibada hizo,
na wanamrudishia Sifa na Utukufu Mungu kwa yote.

Rivers of Life Worship Team wakiwa madhabahuni

Pastor Paul Safari(Kulia) akielezea jambo akiwa na mtafsiri Boniface Mrosso
AFLEWO 2013 team wakiimba katika tamasha hilo
Ma MC wa siku hiyo Judith (kushoto) na Mhtunzi.
Watu wakimsifu Mungu
mashati bluu viti bluu, sijui ndio ilikua rangi ya siku..
Kwaya ya Faith Singers ya hapo hapo DPC wakiimba
Pastor Blessed akimwabudu Mungu, kweli alikua baraka kama jina lake
Pastor Julius Kenyamanyara akielezea jambo akiwa na mtafsiri Judith.
DPC Dancing group walimsifu Mungu kwa kucheza nao.

Dancing team wakienda sawa
Kazi haikua ndogo..
Dada Rose akishuhudia jinsi alivyookoka kupitia Ibada hizi za mwisho wa mwezi

Kaka nae akishuhudia alivyokutana na Mungu kupitia Ibada hizi
Pastor Bale akienda sawa na Keyboard hapo
Pastor Julius na Jade Kenyamanyara
Shuhuda zaidi zilitolewa..
watu weweeeeeeeee
Yu Hai Jehovaaa, Yu hai Mileleeee
Rivers of Life wakimsifu Mungu
Bwana Bwanaaaa
Haleluyaaaa
Kaka Benard Mwenyekiti wa Rivers of Life
Mtumishi wa Mungu John Lissu akilitendea haki gitaa
Chezea uwepo wa Mungu..
Joyce na Josephine wakimwabudu Mungu
Bwana wastahili Kuabudiwa
Uwepo wa Mungu ulijaaaaaaaaa
Haleluyaaaaaa
Ibada hizi hufanyika kila Jumapili ya Mwisho ya kila Mwezi hapo Kanisani DPC Kinondoni kwanzia saa Tisa mchana hadi saa moja jioni.
Karibu Sana!
No comments:
Post a Comment