Mwaka huu 2013 kutakua na wageni toka Mwanza, Moshi na Zanzibar wanaokuja pia kujifunza Aflewo Ilivyo Kisha wanakwenda kuandaa AFLEWO kwenye mikoa yao.
Maono ya mwaka huu ya AFLEWO yakiwa ni kujenga madhabahu ya Mungu katika taifa letu.
Walio Pichani Kushoto ni Samuel Sasali, Mkurugenzi wa Habari Aflewo, Bishop Freddie Japhet Kyara Mlezi Wa Aflewo Tanzania, Pastor Paul Safari Mlezi wa Aflewo Tanzania, na Samuel Rodin Mwangati Music Director wa AFLEWO.
USIKUBALI KUKOSA!
No comments:
Post a Comment