Ule Mkesha Mkubwa wa Aflewo (Africa Lets Worship) ambao hufanyika mara moja kwa
mwaka, umfanyika usiku wa leo katika Kanisa la BCIC Mbezi Beach. Mkesha huo
ambao ni Maalum kwa ajili ya Kusifu, Kuabudu na Kuombea bara la Africa
Umehudhuriwa na Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam na Vitongoji
Vyake.
Mkesha huo ulifunguliwa rasmi na Askofu Sylvester Gamanywa kwa maombezi maalum
ya Kuombea Taifa la Tanzania. Pia katika Mkesha huo kulikuwa na team ya watu
kutoka Mwanza, Zanzibar na Moshi kwa ajili ya kupata uzoefu wa kuandaa aflewo
katika Mikoa hiyo.
Bishop Sylvester Gamanywa akifungua mkesha

It was awsome!
Aflewo mass choir
Ma MC wa event wakiwa kazini
Pastor Safari akiongoza wimbo
Pastor Abel akimwabudu Mungu
Madhabahu ya Mungu yamejengwa Tanzania

Jembe la Bwana, Joel akiwa kazini
Sound team..
Music director wa Aflewo 2013, Sammy akiongoza wimbo
Ilikua furaha na shangwe
Dr. Ona akiongoza wimbo wa 'He'a Able'
Watu people
MTBC praise team ndani ya AFLEWO
Mama Mchungaji MTBC akimsifu Mungu
Dancing team from DPC walikuwepo
The Voice pamoja na Angel Magoti nao walikuwepo
Prohpet Rose Mushi akiongoza maombi
Pastor Dickson wa MTBC Moshi akiongoza maombi
No comments:
Post a Comment