Friday, February 17, 2017

#Leo Nizungumze na Binti.


Unajua kwamba wewe ni wa THAMANI sana kuliko chochote pesa inaweza kununua?
Unajua kwamba wewe ulipoumbwa MUNGU aliona mama wa Vizazi vingi ndani yako?
Unajua kwamba umebeba HATMA ya mume wako na watoto wako?
Unajua kwamba ukiamua KUJITAMBUA utakua umesaidia wangapi?
Image may contain: shoes and closeup
#Sasa Basi kwa hayo machache,
Nataka,
Uinuke,
Ufute machozi,
Ujiangalie kwenye Kioo,
Alafu ujiambe haya..
#Mimi ni wa thamani sana.
Hakuna pesa inaweza fikia thamani nliyonayo!
#Mimi ni mzuri na mrembo kwa sababu Nimeumbwa kwa jinsi ya ajabu na ya kutisha.
#Mimi nitaishi kutimiza kusudi la Mungu na si vinginevyo
#Hakuna mtu wala mazingira yatakayonikwamisha kwa sababu Yesu aliye ndani yangu ni mkuu kuliko mazingira na hali zozote zinazonipinga.
##Wewe ni Shujaa
##Wewe ni Shujaa
##Wewe ni shujaa

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...