Hatufanyi mema kwa sababu tunalipa wema,
au kwa sababu tunatafuta kuja kufanyiwa mema,
#Tunafanya mema kwa sababu ni asili yetu!
#Tunafanya mema kwa sababu tumeumbiwa hayo kuyafanya!
#Tunafanya mema kwa sababu aliye ndani yetu ni mtenda mema!
#Tunafanya mema kwa sababu ni wajibu wetu!
#Tunafanya mema kwa sababu ni utamaduni wa ufalme wetu kutenda mema!
No comments:
Post a Comment