Wednesday, February 1, 2017

#DarasaLaHekima #TendaMemaWakatiWote

Hatufanyi mema kwa sababu tunalipa wema,
au kwa sababu tunatafuta kuja kufanyiwa mema,

#Tunafanya mema kwa sababu ni asili yetu!

#Tunafanya mema kwa sababu tumeumbiwa hayo kuyafanya!

#Tunafanya mema kwa sababu aliye ndani yetu ni mtenda mema!

#Tunafanya mema kwa sababu ni wajibu wetu!

#Tunafanya mema kwa sababu ni utamaduni wa ufalme wetu kutenda mema!

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...