Usipojua unachotaka chochote kijacho mbele yako utaenda nacho..
Usipojua unataka kuwa nani,utasoma kozi yoyote itakayokuwepo mradi wengi ndio wanaisoma..
Usipojua unataka kuwa na familia ya aina gani,utaoa/kuolewa na yeyote ajae..
Usipojua unafaa kufanya biashara gani utafanya yoyote mradi umeambiwa inalipa..
Usipojua kuna maisha baada ya haya,utaishi tu kiholela bila YESU!..
#KujuaNiKuamua
#AmuaLeoKujuaKusudiLako
#IshiMaishaYaKusudi
#DarasaLaHekima
Tuesday, January 17, 2017
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...
Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...
-
Some people would say that God is against prosperity, but these ten famous Christian businessmen would disagree. In fact, they would likel...
-
Bila shaka umewahi na hata sasa unao marafiki wengi. ...Lakini ili kuwa mtu mwenye matokeo, uchaguzi wa aina ya marafiki ni jambo la msingi ...
-
Ni kweli uliowazi kwamba hakuna jambo jipya chini ya jua! Lakini pia pamoja na kwamba hakuna jambo jipya ila utofauti upo kwenye nani analif...
No comments:
Post a Comment