Tuesday, January 17, 2017

USIPOJUA..

 Usipojua unachotaka chochote kijacho mbele yako utaenda nacho..

 Usipojua unataka kuwa nani,utasoma kozi yoyote itakayokuwepo mradi wengi ndio wanaisoma.. 

Usipojua unataka kuwa na familia ya aina gani,utaoa/kuolewa na yeyote ajae.. 

Usipojua unafaa kufanya biashara gani utafanya yoyote mradi umeambiwa inalipa.. 

Usipojua kuna maisha baada ya haya,utaishi tu kiholela bila YESU!..

 #KujuaNiKuamua
#AmuaLeoKujuaKusudiLako
#IshiMaishaYaKusudi
#DarasaLaHekima

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...