Sio KILA KITU MUNGU ANACHOFANYA KWAKO AU ANACHOKWAMBIA UNAPASWA KUKISEMA KWA WATU!
VINGINE UNAPASWA KUNYAMAZA KIMYA,
VITU VINGINE UNAPASWA KUWAAMBIA AINA FULANI TU YA WATU ,
VITU VINGINE UNAWEZA KUMWAMBIA KILA MTU,
NA VINGINE HUSEMWA BAADA YA MUDA FULANI.
Mara nyingi YESU alipokuwa amemponya mtu, au kumtoa pepo aliwaonya watu hawa wasiseme baadhi ya vitu alivyokua anafanya,
lakini pia kuna mambo aliyokua anafanya na alikua anawaambia wakaseme, au kwa makuhani, au kwa mafarisayo au wakawaeleze watu kila Mungu alichowafanyia.
Na vingine alivyowaambia wanafunzi wake, aliwaambia wasiseme mpaka baada ya muda fulani.
#Minna2017
#DarasaLaHekima
No comments:
Post a Comment