Mfano wa mpanzi unatufundisha mengi;
1.Mpanzi ni Mungu
2.Mbegu ni Neno
3.Udongo ni moyo wako.
Katika upandaji tunaona kuwa mbegu zilianguka tofauti.
1. Kando ya njia.
-Ndege wakazila (shetani huliondoa moyoni lile Neno)
-Ndege wakazila (shetani huliondoa moyoni lile Neno)
2. Kwenye Mwamba
-udongo mchache (hudumu moyoni kwa muda mchache,kwa sababu hamna mizizi)
-Jua likaja zikakauka.
(Dhiki na uzia kwa ajili ya lile neno likakauka)
-udongo mchache (hudumu moyoni kwa muda mchache,kwa sababu hamna mizizi)
-Jua likaja zikakauka.
(Dhiki na uzia kwa ajili ya lile neno likakauka)
3. Penye Miiba.
-Ikamea, ikalisonga, isizae.
(Miiba ni shughuli na dunia,mali na tamaa ya mambo mengine)
-Ikamea, ikalisonga, isizae.
(Miiba ni shughuli na dunia,mali na tamaa ya mambo mengine)
4. Penye Udongo mzuri.
Zikazaa 30,60,100!
(Zikazaa matunda,zikamea na kukua)
(Zikazaa matunda,zikamea na kukua)
Udongo mzuri huandaliwa..ili mbegu inapokuja iweze kuzaa matunda.
#Andaa moyo wako ili Neno linapokuja liweze kumea,kukua na kuzaa matunda moja 30,60,100!
Uwe na siku njema
~Mwl Minna
~Mwl Minna
No comments:
Post a Comment