Friday, January 20, 2017
#DarasaLaHekima #Jifunze kwa mnyama Simba
Leo ntazungumza na wewe kuhusu mnyama Simba,
🦁Simba sio kwamba ni mnyama mkubwa kuliko wote mwituni,
🦁Wala sio mnyama mwenye nguvu kuliko wote mwituni,
🦁Wala sio mnyama mjanja kuliko wote mwituni,
🦁Wala sio mnyama mwenye mbio kuliko wote mwituni..
🦁LAKINI SIMBA NDIO MFALME WA MWITU(King of the Jungle)
🤕Akinguruma wanyama wote wanaogopa
🏃🏿♀🏃🏼Akitokea wanyama wote na binadamu wanakimbiaaaa
🤔Unafikiri ni kwa nini?
🦁Kwa sababu ya MTAZAMO wake.
😋Yeye akiona mnyama au mtu anaona anaona chakula
🍽Yeye hajawahi kuona analiwa bali yeye ndio anakula wengine
🦁Hiyo ni sifa moja inayompa ushindi mkubwa Simba.
🐝Wale wapelelezi walioenda kuipeleleza nchi ya Kanani,waliporudi kuna walioona Majitu, na Joshua na Kalebu wao waliona maziwa na asali
👀Kilichowatofautisha ni Mtazamo wao juu ya Kanaani.
❓Je wewe unaona nini kwenye ulilonalo?
❌Ishu sio TATIZO,ishu ni Mtazamo wako juu ya hilo tatizo.
🚥Namna unavyoona mambo, ndio inategemea matokeo utakayopata kutoka kwenye hilo jambo.
📝Hatua ya kwanza ya kubadilisha jambo lolote, inaanzia kwenye mtazamo wako juu ya hiyo jambo.
⛔Badili mtazamo na utaanza kuona mwanga wa namna ya kutoka hao ulipo.
...Tutaendelea sehemu ya pili kesho
#DarasaLaHekima
#Minna2017
#JifunzeKwaMnyamaSimba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...
Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...

-
Some people would say that God is against prosperity, but these ten famous Christian businessmen would disagree. In fact, they would likel...
-
The Pencil Maker took the pencil aside, just before putting him into the box. "There are 5 things you need to know," he to...
-
Many people assume that listening and hearing are one and the same. However, there is a big difference between the two. Unless they were ...
No comments:
Post a Comment