Kila kitu Mungu alichokiumba aliona ya kuwa ni chema sana!
Vile vile kilivyokua alikiona ni kizuri.
Alivyokuumba mweusi alikuona ni mzuri hivyo hivyo na weusi wako....
Angetaka uwe mweupe angekuumba mweupe.
Alivyokuumba na umbo lako hilo hilo aliona ni zuri,angetaka uwe tofauti angekuumba hivyo.
Vile vile kilivyokua alikiona ni kizuri.
Alivyokuumba mweusi alikuona ni mzuri hivyo hivyo na weusi wako....
Angetaka uwe mweupe angekuumba mweupe.
Alivyokuumba na umbo lako hilo hilo aliona ni zuri,angetaka uwe tofauti angekuumba hivyo.
Sasa kwa nini umkosoe muumbaji wako?
Rangi na maumbile vimekua mtihani kwa wanawake wengi.
Wanaamini wakiwa na rangi nyeupe na makalio makubwa ndio wazuri..hivyo hukazana kujiongeza.Huo ni uongo wa shetani.wewe ni mzuri kwa namna Mungu alivyokuumba.
Uzuri wa kujiongezea unajulikana na huwa unaisha.
Mwanamke ukijitambua thamani yako,hutahitaji nyongeza bandia kwnye mwonekano wako.
Simaanishi usipendeze wala usijirembe, namaanisha kuwa nadhifu lakini ukiwa na urembo asilia..sio kujibadilisha rangi na kujiongezea makalio!
Wewe ni mzuri hivyo hivyo ulivyo!
#BintiJitambue#Wewe ni wa thamani#
~Mwl Minna.
Rangi na maumbile vimekua mtihani kwa wanawake wengi.
Wanaamini wakiwa na rangi nyeupe na makalio makubwa ndio wazuri..hivyo hukazana kujiongeza.Huo ni uongo wa shetani.wewe ni mzuri kwa namna Mungu alivyokuumba.
Uzuri wa kujiongezea unajulikana na huwa unaisha.
Mwanamke ukijitambua thamani yako,hutahitaji nyongeza bandia kwnye mwonekano wako.
Simaanishi usipendeze wala usijirembe, namaanisha kuwa nadhifu lakini ukiwa na urembo asilia..sio kujibadilisha rangi na kujiongezea makalio!
Wewe ni mzuri hivyo hivyo ulivyo!
#BintiJitambue#Wewe ni wa thamani#
~Mwl Minna.
No comments:
Post a Comment