✍🏾Mawazo yasiyopendeza juu ya Mungu na watumishi wake, Mungu hapendi
.
✍🏾Pale ambapo mtu au watu wanajipanga kuwa kinyume na mtumishi wa Mungu ni sawa na kuwa kinyume na Mungu mwenyewe
.
✍🏾Na mtu anapowaza uovu huo, mbinguni Mungu ANAMCHEKA na kumeangalia kwa DHARAU
.
📌 Ndipo hasira yake inapowaka juu ya mtu huyo
.
📌UNAJIULIZA,mbona hiki hakiendi au kile hakiendi,,
.
JICHUNGUZE,je,umewahi kumwazia mabaya mtumishi wa Mungu na Mungu mwenyewe? Basi hasira yake imewaka juu yako! TUBU LEO.
.
📌JIZOEZE kuwaombea wale wanaofanya kazi ya Mungu badala ya kuwasema vibaya, hata kama walichofanya ni kibaya, SIO KAZI YAKO wewe kuanza kuwasema vibaya.
.
📌ACHA MUNGU MWENYEWE atashughulika nao,
.
📌USIJITAFUTIE LAANA ZISIZO NA ULAZIMA NA ZINAZOEPUKIKA.
UNIOMBE, NAMI NITAKUPA MATAIFA KWA URITHI WAKO.NA MIISHO YA DUNIA KUWA MILKI YAKO.
.
📌MUNGU mwenyewe anatupa prayer point..
MUNGU anataka uone kwa mtazamo wa kidunia sio wa kimtaa unachoishi.
.
UNAPOOMBA, kuwa na Global Vision.
(Wanasema Think Global but Start Local) .
LAZIMA MTAZAMO WAKO UWE WA MATAIFA,UWE WA MIISHO YA DUNIA,,ILI maombi yako yawe pia ya aina hiyo..inaanzia kwenye mindset.
.
📌Je,UNA MAONO GANI?KUJUSU KAZI YAKO,BIASHARA YAKO,HUDUMA YAKO?
.
JE,YANAISHIA MTAANI KWAKO,MKOANI KWAKO,NCHINI KWAKO,AU DUNIANI KOTE?
.
👀 Macho yako yafunguke leo uone jinsi Mungu anavyokuona..yeye anakuona kama a GLOBAL PERSONALITY.
SO SHOULD YOUR PRAYERS BE.
.
#umebarikiwa
#siku150zazaburi
No comments:
Post a Comment