Hata Gidioni,alikua kijana aliyejiona hivyo pale alipotokewa na malaika.
Waamuzi 6:1-6 inaeleza wasifu wa kijana huyu
Alijiona masikini
Alijioni mdhaifu sana
Alijiona haiwezi vita iliyokua mbele yake.
Lakini Mungu hakumwona kwa staili hiyo.
MUNGU ALIMWONA NI HODARI NA SHUJAA AWEZAE KUIPIGANA VITA NA KUISHIDA.

HATA WEWE LEO HII,
USIJIONE MDHAIFU,
USIJIONE MASIKINI,
JIONE KAMA MUNGU ANAVYOKUONA!
ANAKUONA HODARI,
ANAKUONA UNAWEZA,
ANAKUONA MSHINDI,
NA NDIVYO ULIVYO.
USIYUMBISHWE NA HALI ULIYONAYO SASA,
HATA WANAJESHI WAKIANGALIA IDADI YA ADUI HAWATAPIGANA VITA,
HIVYO UANGALIE UKUU WA MUNGU
NA UTAISHINDA VITA.
UWE NA MWEZI WENYE USHINDI TELE!
#author
#kalamuyangu

No comments:
Post a Comment