Usipochoshwa na hali unayopitia huwezi kuhama hapo!
Ni mpaka hali uliyonayo uichoke ndipo utaanza kuona namna ya kutoka hapo.
Ni mpaka hali uliyonayo uichoke ndipo utaanza kuona namna ya kutoka hapo.
Unajuaje Kama hali uliyonayo hujaichoka bado?
Wewe ni mtu wa kusema;
-Ndio maisha yalivyo...
-Ndio hali Halisi..
-Tunasogeza siku tu..
-Aha wengi walijaribu kutoka hapa lakini hawakuweza Mimi ntawezea wapi..
Na maneno yanayofanana na hayo,
Wewe ni mtu wa kusema;
-Ndio maisha yalivyo...
-Ndio hali Halisi..
-Tunasogeza siku tu..
-Aha wengi walijaribu kutoka hapa lakini hawakuweza Mimi ntawezea wapi..
Na maneno yanayofanana na hayo,
No comments:
Post a Comment