Friday, December 16, 2016

Happiness is a choice!


Ukifika levo ya kufanya furaha kuwa kitu unachochagua kuwa nacho basi,umekomaa!

Lakini Kama furaha yako unaipata kwenye vitu,matukio,watu mazingira ulionayo kwa wakati fulani,pesa,kazi au chochote kilicho nje uwe na uhakika ni ya muda...na hivyo visababishi vikitoweka basi furaha nayo hutoweka.!
Njia pekee ya kuwa na furaha wakati wote ni kufanya MAAMUZI ya lazima kuwa ije mvua au liwake jua utakua na furaha.

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...