Tuesday, October 30, 2012

MAMBO YALIVYOKUA MTBC MOSHI JUMAPILI HII

Manna Tabernacle Bible Church aka MTBC ni moja ya makanisa ambayo yanaleta mguso mkubwa katika mji wa Moshi na kwa wakazi wa mji wa Moshi na meneo ya jirani.
Kila jumapili ya mwisho wa mwezi kunakua na Ibada ya kusifu na kuabudu ambayo huongozwa na Praise Team ya MTBC ikiongozwa na Mama Mchungaji Elizabeth Mtalitinya wakishirikiana na waimbaji mbalimbali kutoka ndani na nje ya Moshi.
Jumapili hii ya tar 29 Oct, 2012 ilikua ni Ibada ya Tisa ya kusifu na kuabudu tangu Ibada hizi kuanzishwa pale MTBC.

Mungu alionekana kwa namna ya tofauti na kugusa maisha ya watu waliokuwa wamehudhuria katika ibada hiyo.Pichani ni baadhi tu ya ambavyo Ibada hiyo ilivyokua.

Mama Mchungaji Elizabeth Mtalitinya  akiwaongoza watu katika kumsifu Mungu.



Mchungaji Dickson Mtalitinya (aliyeshika microphone), Mchungaji kiongozi wa kanisa la MTBC Moshi, akiwaombea watu kupokea mahitaji yao kutoka kwa mungu.



MTBC Praise team wakiwa kazini, kumsifu Mungu!

 

Mchungaji Yustice Danga akisisitiza jambo wakati wa Ibada ya kusifu na kuabudu MTBC Moshi.



Watu Peopleeeeeeeeeeeeeeee


Mtumishi wa Mungu Dorcas Mtalitinya nae alikuwepo, Mungu azidi kukuinua!



Ester Bukuku, Mwimbaji wa nyimbo za Injili nae alikuwepo.


Daktari na Mtumishi wa Mungu Lightness Ng'unda akimsifu Mungu


Mr. Bez nae alikuwepo akimsifu Mungu
 
Aaron akiitendea haki mashine.
 
Pierre akiwa kikazi zaidi hapa
 
 
Drums zingekua zinaongea, zingesema zenyewe,mi sizisemei!
 
 
 
Na watoto nao wanamsifu Mungu
 
 
                       Kila mtu alikua busy akimsifu Mungu!

MTBC Praise team wakimsifu Mungu katika moja ya ibada za mwisho wa mwezi.



Ni kila jumapili ya mwisho wa mwezi pale MTBC Moshi mjini..Usikose mwezi ujao!

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...