HABARI KATIKA PICHA
Maeneo ya Morocco
Maeneo ya Kariakoo
Maeneo ya Posta
Potsa mpya
Kariakoo
Ikiwa jana ni siku ya pili tangu vurugu zilizoanza zinazofanywa na Waumini wa dini ya Kiislam kutetea maslahi ya Waislam kutoka kwenye mfumo dume uliopo Tanzania.
Maandamano yalikuwa rasmi kwa ajili ya Kupinga kukamatwa kwa Katibu Wa Wanaharakati wa Kiislam Shekhe Ponda Issa Ponda ambapo walikuwa wakishinikiza Kuachiliwa kwa shekhe huyo aliyefikishwa Mahakamani siku ya Juzi. Waumini hao walishinikiza Serikali kama Mpaka Mchana swala ya Ijumaa itakapokuwa inamalizika kama shekhe huyo hata achiliwa basi wataandamana Jiji zima kushinikiza kuachiliwa kwa shekhe huyo.
Mchana wa jana majira ya saa 6 Mkuu wa Mkoa wa Dar, aliutangazia uma kupitia Radio One kuwa Maandamano hayo hayana baraka za Serikali ni Batili, hivyo watu wasiandamane. Mara baada ya swala ya Ijumaa Waislam wakakaidi amri hiyo kwa kuandamana.
Hii ni wiki ya nne Waislam kuandama kila baada ya Swala ya Ijumaa, wiki iliyopita Waumini wa dini hiyo walichoma Makanisa Kadha wa Kadha kuonesha hasira zao za Kijana mwenye umri wa miaka 12 kukojolea kitabu chao Kitakatifu cha Quran.
Jana Jeshi la Polisi, FFU na Jeshi la JWTZ wamefanikiwa kutawanya maandamano hayo yaliyotokea kona mbali mbali za Dar, maeneo ambayo mabumu ya machozi yalitumika ni Kariakoo, Posta Mpya, Magomeni, Kinondoni na Maeneo ya Buguruni
Maandamano yalikuwa rasmi kwa ajili ya Kupinga kukamatwa kwa Katibu Wa Wanaharakati wa Kiislam Shekhe Ponda Issa Ponda ambapo walikuwa wakishinikiza Kuachiliwa kwa shekhe huyo aliyefikishwa Mahakamani siku ya Juzi. Waumini hao walishinikiza Serikali kama Mpaka Mchana swala ya Ijumaa itakapokuwa inamalizika kama shekhe huyo hata achiliwa basi wataandamana Jiji zima kushinikiza kuachiliwa kwa shekhe huyo.
Mchana wa jana majira ya saa 6 Mkuu wa Mkoa wa Dar, aliutangazia uma kupitia Radio One kuwa Maandamano hayo hayana baraka za Serikali ni Batili, hivyo watu wasiandamane. Mara baada ya swala ya Ijumaa Waislam wakakaidi amri hiyo kwa kuandamana.
Hii ni wiki ya nne Waislam kuandama kila baada ya Swala ya Ijumaa, wiki iliyopita Waumini wa dini hiyo walichoma Makanisa Kadha wa Kadha kuonesha hasira zao za Kijana mwenye umri wa miaka 12 kukojolea kitabu chao Kitakatifu cha Quran.
Jana Jeshi la Polisi, FFU na Jeshi la JWTZ wamefanikiwa kutawanya maandamano hayo yaliyotokea kona mbali mbali za Dar, maeneo ambayo mabumu ya machozi yalitumika ni Kariakoo, Posta Mpya, Magomeni, Kinondoni na Maeneo ya Buguruni
Source:samsasali.blogspot.com
No comments:
Post a Comment