Wednesday, May 29, 2013

MAFANIKIO NI HATUA

 
 

MAFANIKIO NI HATUA ni segment mpya katika blog ambayo ina lengo la kukuhabarisha, kukufikirisha na kukuchangamotisha wewe msomaji kuhusu nini maana ya mafanikio, juhudi mbalimbali ambazo hufanywa na watu waliofanikiwa, njia ambazo yapasa kuzifuata kuyafikia mafanikio yako,kwa nini watu wengi hutamani kuafanikiwa lakini hawafikii yale mafanikio..fuatana nami hapa hapa blogini! Na leo nataka nikufikirishe zaidi..

Kama wanadamu kila dakika inayopita huwa tunafanya maamuzi ya kile tunachotaka kuwa, maamuzi ya kufungua biashara mpya, kuanzisha kampuni, kuwa mjasiliamali, kuwa mkulima ,kutafuta kazi nyingine, kuoa/ kuolewa, kujenga nyumba nyingine, na kadhalika na kadhalika.

Kaa ukijua kuwa, njia yoyote utakayoichagua, kumbuka kuwa hutakua peke yako, ushindani sio kitu cha kuchagua ni lazima utakutana nao. Namna mbalimbali za kufanya vitu zilishavumbuliwa miaka mingi iliyopita, na hata hicho unachofikiri kufanya hakitakua kipya chini ya jua.Tayari kuna mtu alishawahi kufikiri kufanya hivyo pia!



Hebu tufikiri pamoja, kwa mfano unataka kufungua biashara ndogo ya kuuza matunda, na una kila malighafi inyohitajika.Matunda unayo na una namna ya kuyapata huko baadae, vifungashio unavyo,na unafikiri itakua ni biashara nzuri sana.
Kabla hujachukua hatua ya kuanza biashara yako,unatafuta eneo ambalo ndio utakua unafanyia biashara zako. Eneo ambalo unapata, tayari unakuta kuna mtu anafanya biashara kama ile ile ya kwako unayowaza kuja kuifanya hapo!Je, utabadilisha mawazo na kufanya biashara nyingine?

Kama uko focused, hutaacha, kwa sababu hiyo ndio njia unayotaka kuiendea.
Kuna wakati katika maisha tuna pita na kukanyaga kule ambapo wengine wamepita na kukanyaga,tunaishi yale maisha ambayo wengine wameishi, lakini ukweli ni kwamba,haijalishi ni watu wangapi wanaonekana kufanya kile ambacho wewe unataka kufanya, haijaishi ni hatua ngapi unaziona zimeshakanyaga pale unapotaka kukanyaga,hakuna anayeweza kukanyaga kama wewe. Hakuna anayeweza kufanya vitu kama ambavyo wewe utafanya.Kwa sababu tumeumbwa tofauti, na kila mtu ana kitu cha tofauti ndani yake. Haijalishi wanaouza matunda ni wangapi, lakini hawafanani, huduma zao hazifanani, haijalishi mafundi vyerehani wako wangapi, lakini hawafanani, kila mmoja ana kitu chake unique.
Njia utakayoichagua ni njia yako, haijalishi ushindani utakao kuwepo, as long as you are sure that it is your path, follow it!
Katika kufanya uamuzi wa kuifuata njia ulioichagua, kuna changamoto ambazo utakutana nazo.. ungana nami wiki ijayo hapa hapa kwenye blog ntakapoongelea changamoto hizo.

Thursday, May 9, 2013

How Saying the Right Things Can Change Your Life!


by Joyce Meyer

I started smoking when I was nine years old and smoked for many years. I liked it! So when I decided to stop, it was really difficult.
Every time I tried to quit, I’d last a few hours and then I’d be running around, digging cigarette butts out of the trash or looking for cigarettes in my coat pockets – anywhere I could think to look for them!
I didn’t have success until I got a revelation: I was burying myself in defeat with negative confessions.

Why I Had to Stop Talking Myself Out of My Victory

I finally realized that I was causing myself to fail through the negative things I was saying about myself. For a long time I would say, “I just know I could never quit smoking. And if I did, I’d probably gain a lot of weight.”
Thankfully, God was able to get through to me eventually and help me see that if I didn’t change my confession, I wouldn’t change. Then, He began to put desires in my heart to start speaking what I wanted, not what I had.
I started saying things like, “I can’t stand to smoke! These things stink and they’re expensive. I don’t smoke anymore!”
At first, I felt silly doing this because I would make these declarations while I was smoking. However, within about a week of changing my confession, I realized I now had the grace of God to quit smoking.
What I learned from this is I cannot rise above my own confession.

How God Taught Me to Talk Like Him

Proverbs 18:21 says, “Death and life are in the power of the tongue…” And Hebrews 4:14 (AMP) says we should “hold fast our confession [of faith in Him]”
Confession means “to say the same thing as.” As the High Priest of our confession, Jesus can only do what we’re saying that agrees with His Word. So it’s vital for us to learn how to speak the Word of God and not just say things based on our feelings or even what others have said about us.
I believe we’ll have greater success with this if we concentrate on what we should be saying, rather than focusing on all the things we shouldn’t say. It’s self-defeating to go around saying things like, “I shouldn’t do that… I’d better not do this…”
I want to encourage you to really listen to yourself. Where’s your heart? See Luke 6:45. We need to stop saying, “Oh, I didn’t mean that. I was just kidding.” And we need to start being accountable for the words we speak.
The truth is, the things we say come from something that is formed in our heart. So you can determine where your heart is by listening to yourself. You can hear bitterness and jealousy…insecurity and unhappiness.

What Changing the Way You Talk Will Do

“We all have room to grow in our relationship with God.”
Do you need a change of heart? All of us do. We all have room to grow in our relationship with God.
And the way to make progress is to speak His language…
  • Bless everything you can possibly bless. James 3:8-10 says we have the power to bless or curse with the words of our mouth.
  • Be thankful and say so! (See Psalm 100:4.) Don’t just think about how much you appreciate someone – tell them!
  • Be an encourager. Give someone an encouraging word every day.
  • Tell the truth!
  • Speak the Word of God. Recite and memorize verses that deal with things you want to change or overcome – anger, unforgiveness, insecurity…
  • Don’t talk too much. Be quick to hear and slow to speak.
I encourage you to pray and ask God to help you use your mouth to say the right things. When you do, it will change your life!

Saturday, May 4, 2013

HATIMAYE AFLEWO TANZANIA 2013 KUFANYIKA JANA MAY 3, 2013 PALE BCIC

Ule Mkesha Mkubwa wa Aflewo (Africa Lets Worship) ambao hufanyika mara moja kwa mwaka, umfanyika usiku wa leo katika Kanisa la BCIC Mbezi Beach. Mkesha huo ambao ni Maalum kwa ajili ya Kusifu, Kuabudu na Kuombea bara la Africa Umehudhuriwa na Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam na Vitongoji Vyake.

Mkesha huo ulifunguliwa rasmi na Askofu Sylvester Gamanywa kwa maombezi maalum ya Kuombea Taifa la Tanzania. Pia katika Mkesha huo kulikuwa na team ya watu kutoka Mwanza, Zanzibar na Moshi kwa ajili ya kupata uzoefu wa kuandaa aflewo katika Mikoa hiyo.
 
 Bishop Sylvester Gamanywa  akifungua mkesha
 
 
It was awsome!

Aflewo mass choir


Ma MC wa event wakiwa kazini

Pastor Safari akiongoza wimbo

Pastor Abel akimwabudu Mungu

Madhabahu ya Mungu yamejengwa Tanzania

Jembe la Bwana, Joel  akiwa kazini

Sound team..
 
Music director wa Aflewo 2013, Sammy akiongoza wimbo

Ilikua furaha na shangwe

Dr. Ona akiongoza wimbo wa 'He'a Able'
 
 

Watu people
MTBC praise team ndani ya AFLEWO

Mama Mchungaji MTBC akimsifu Mungu

Dancing team from DPC walikuwepo

The Voice pamoja na Angel Magoti nao walikuwepo

Prohpet Rose Mushi akiongoza maombi

Pastor Dickson wa MTBC Moshi akiongoza maombi

Thursday, May 2, 2013

PRESS CONFERENCE ILIYOFANYIKA LEO TAR 02 MAY 2013 IKIWA NI MAANDALIZI YA AFLEWO TAR 03 MAY 2013

Tukiwa katika countdown ya kuelekea AFLEWO, yakiwa yamebaki masaa machache kuelekea tukio ambalo limesubiriwa kwa hamu kubwa na wakazi wa jiji la Dar na mikoa ya jirani, baadhi ya wanakamati wa AFLEWO walikua na Press conference na waandishi wa habari kuelezea nini hasa kitajiri katika AFLEWO siku ya Ijumaa tar 3 May 2013, pale BCIC Mbezi Beach kwanzia saa tatu usiku mpaka baadae.

 Mwaka huu 2013 kutakua na wageni toka Mwanza, Moshi na Zanzibar wanaokuja pia kujifunza Aflewo Ilivyo Kisha wanakwenda kuandaa AFLEWO kwenye mikoa yao.

Maono ya mwaka huu ya AFLEWO yakiwa ni kujenga madhabahu ya Mungu katika taifa letu.

Walio Pichani Kushoto ni Samuel Sasali, Mkurugenzi wa Habari Aflewo, Bishop Freddie Japhet Kyara Mlezi Wa Aflewo Tanzania, Pastor Paul Safari Mlezi wa Aflewo Tanzania, na Samuel Rodin Mwangati Music Director wa AFLEWO.

 
 

 

 
 

 
 
USIKUBALI KUKOSA!
 

Mimi nitakuwepo, wewe je? Usikoseee!


MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...