Friday, September 14, 2018

MINNA BOOK CLUB BRINGS YOU....

Tayari Mungu alishapanga uzaliwe lini,uzaliwe wapi,na hata wazazi gani uzaliwe kwao.

Inawezekana kwa wazazi wao waliona umezaliwa nje ya ratiba yao,ila kwa Mungu huo ndio ulikua muda sahihi kabisa wa wewe kuzaliwa!

#UmeumbwaKwaKusudi
#Karibu tusome pamoja

No comments:

Post a Comment

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...