Friday, September 14, 2018

Nini kinaendesha maisha yako?


Wengine, ni Hatia.

Mtu anaishi chini ya hatia kwa sababu ya mambo aliyofanya nyuma au aliwahi kufanyiwa!


Anaishi akiwa na majuto na aibu ya Yale yaliyotokea zamani!
Anaruhusu jana yake kuitawala Leo yake na kumfanya asione mwanga wa kesho!

Anajiadhibu mwenyewe na kuteka mafanikio yake mwenyewe,

Ni kweli tu matokeo ya jana zetu,lakini sio ticket ya kuwa mfungwa wa jana yako!
Kusudi la Mungu kwako halifungwi na jana yako,




#Alimgeuza muuaji Musa kuwa kiongozi mzuri wa Waisraeli,

#Alimgeuza Gideoni mnyonge,kuwa mtu hodari na mkuu.

Mungu amebobea kwenye kuwapa watu mianzo mipya(mwanzo mpya)

Yeye ni mtaalamu kwenye hilo eneo!

Unamkumbuka Sauli kwenye agano jipya,
Kama kuna mtu asingefaa kabisa alikua ni yeye,, Ila Mungu alimgeuza kuwa mtumishi wake mkubwa sana,,na Leo hii tunasoma kitabu cha Agano Jipya ambacho sehemu kubwa ya zile barua aliziandika yeye! 

Unadhani kesi ya imeshindikana??? Hapana!

Mruhusu Mungu akuoneshe sababu ya yeye kukuweka hapa duniani,usiishi tena chini ya hatia bali uishi maisha yanayoongozwa na kusudi la Mungu.

@minna_book_club_tz
@minna_blessed
# TunaendeleaKusoma
#ReadingMarathon
#JoinTheClub
#YouAreNotLateForSeptemberReading

MINNA BOOK CLUB BRINGS YOU....

Tayari Mungu alishapanga uzaliwe lini,uzaliwe wapi,na hata wazazi gani uzaliwe kwao.

Inawezekana kwa wazazi wao waliona umezaliwa nje ya ratiba yao,ila kwa Mungu huo ndio ulikua muda sahihi kabisa wa wewe kuzaliwa!

#UmeumbwaKwaKusudi
#Karibu tusome pamoja

NI HATARI SANA!

Ni hatari sana huo mwavuli wa juu kabisa unapokua haupo,,pale husband anapokua wa mwisho anakua kwenye hatari kubwa sana,

Ni hatari sana kama hiyo miamvuli miwili ya juu haipo,,wife anakua danger zone,, Na ni hatari zaidi kama hiyo miavuli mitatu ya juu haipo,child anakua kwenye hatari isiyoelezeka!

Familia yoyote isiyo na Mwavuli wa Kristo ipo hatarini kupatwa na lolote maana haijafunikwa na haiko salama.


Unaweza kudhania pesa zitakulinda,

Unaweza kudhania ukiwa na nyumba,magari na dhahabu nyingi zitakulinda,

Unaweza kudhania jina kubwa na kujulikana kila mahali ni ulinzi kwako,

Ila waulize,
Waliokuwa na pesa na shida ilipokuja ikazishinda-kuna vitu pesa haina majiibu yake

Waulize waliokuwa na majumba,magari na dhahabu,,kuna shida ziliwavamia hata hizi asset hazikua na msaada kwao,

Waulize watu maarufu,,watakwambia kuna saa hata majina yao hayana msaada kwao,walotafuat nani anawajua,na hakukua hata na mmoja wao aliyejitokeza!

Funikwa na mwavuli wa Yesu Kristo utakua salama muda wote!
#Ije mvua lije jua,huna mashaka kwa sababu uko salama!
#Zaburi91:1

@minna_blessed

Thursday, May 10, 2018

LIFE HAS NO DUPLICATE!

...Those are not my words, but as I read them this afternoon from one servant of God, they struck my mind and i had to read them twice.

She wrote:
"LIFE HAS NO DUPLICATE.LIVE IT TO THE FULLEST!LIKE YOURSELF. LOVE YOURSELF. LAUGH ALOT. HONOR GOD AND HELP PEOPLE" ~Rev. Funke-Felix Adejumo.



I got this revelation as I was reading, that many are times we take our lives for granted. we assume that we are here just to count days and that is all!


No, we are all here for a mission and a purpose. and yes, as we are born for a purpose we ought to be purposing all the time!

And as we purpose in life, lets do it cheerfully and with love. Because the greatest satisfaction in life is when what you do makes you happy, and you are happy doing it! If whatever you do does not make you happy you will never be satisfied! Here, i don't mean that if you take drugs and feel happy that's it! No!
I am talking about true happiness that has no regrets!

The bible is clear that the blessing of the Lord, makes one rich, and it has no sorrow mixed with it!

Provebs 10:22. "The blessing of the LORD makes a person rich, and he adds no sorrow with it."

If any happiness inside it has an ingredient of sorrow then that's not from the Lord. And its obvious from the evil one.

When i was a little girl i used to think that all the rich people are happy! and i thought that the poor people and not happy.

But that was because I was a child.

Little did I know that most rich people have happiness poverty! 

Yes, many rich people that have material things, are do not live a happy life. This is all because what is holding their happiness is not God.

As we read previously, that it is only the blessing of the Lord that makes one rich with no sorrow. Any other source,mixes the blessing with sorrow! No wonder we have unhappy rich people around.

Life is no a duplicate.When we live today, its gone, tomorrow is another day. when whatever prepared for today passes, its gone. Even if tomorrow it seems to be the same, but it is different!

So, live your life to its fullest because there is no duplicate for a day! Every day has its own package!

Enjoy life today!

~Minna Matee

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...