Monday, April 11, 2016

LET GOD INTRODUCED YOU TO YOU!



Oooops!

You might think the heading is mistyped but it isn't.

Yes, Let God introduce YOU to YOU!




Have you even been introduced somewhere and you find out that you did not know that it was you who was introduced!

Only to find out it is you, its when everyone looks at you, thinking why aren't you responding to the introduction!

But you only came to realize that, it was also an introduction to yourself!

This also happened to one prophet called Jeremiah in the Bible.

When God gave him an assignment he was not yet ready to do it because he thought it was not his assignment,but somebody else's' assignment!

Until God introduced Jeremiah to Jeremiah in the book of Jeremiah1:5

"Before I formed you in the womb I knew you, before you were born I set you apart; I appointed you as a prophet to the nations."

That is when Jeremiah come to understand who exactly he was!

Many of us do not know who we are until we are introduced to ourselves!

Many people are doing other peoples business instead of doing their own business because they don't know who they are.

Let God introduce you to yourself so that you live according to who are and not according to what others think you are.

When you live you, you become a peculiar person according to 1Peter2:9.

Unfortunately many people have lived copies of other people who have decided to live who they are.

And they end up frustrated because they don't find satisfaction in whatever they do!

True satisfaction comes when YOU do YOU!

Only the manufacturer of a computer knows that, the device is a computer and names it a computer so it operates as a computer.

Only the maker of man knows who you are. And names you after your assigned activity. So that you operate in that arena!

You can not call a doctor, an engineer nor a teacher, a carpenter!

They are all called after their assigned activities.

Everyone has an arena created for them to work at!

Find today who you are and make the most out of it!

If you do not know, who you are then;

LET GOD INTRODUCE YOU TO YOU!

Why God and not man?

Because God is your maker.

He knows why He made you, and He knows where best you can fit.

Man judge by outside appearance but God sees the unseen.

Man can tell you that you are a good teacher, but God knows that you are a good pilot!

LET GOD INTRODUCE YOU TO YOU!

Man can see only the visible in you, but God can see the invisible!

Man can tell you that you are a failure because you have failed several attempts,

But God will tell you, that the next attempt you will win, because the last attempts were preparing you for a greater reward ahead!

LET GOD INTRODUCE YOU TO YOU!

For God to introduce you to you, there is a principle to follow:
its in Jeremiah 33:3

"Call to me and I will answer you and tell you great and unsearchable things you do not know"

Give God a CALL i.e. have a conversation with Him.

How?

Thought His Word; having a personal time studying the Word of God.

Though Prayer; having a time set to talk and hear God.

Because He has promised to respond! And surely, He Will!


Wooow! I cant wait to see You after being Introduced to yourself!

until next time,

God bless you as you seek Him to Introduce You to You!

Yours,
Minna.
www.amenhalleluyah.blogspot.com

Friday, April 1, 2016

SUMMARY YA KITABU CHA RUTHU.

 

 UTANGULIZI:


 

 
Kitabu cha Ruth kinasadikiwa kuandikwa na Suleiman au Daudi kutokana na kuwepo kwa baada ya maneno ya watu hawa.
 
WAKATI: Kiliandikwa wakati wa Waamuzi katika Israel.
 
UKUBWA:Kitabu cha Ruthu kina Sura 4!
 
 
SURA YA KWANZA:
Tunamwona kulikua na njaa katika Israel hivyo bwana mmoja aitwae Elimeleki na familia yake wakawa wanakimbia njaa..😩🏃🏃🏃👨👩👦👦
 
Wakaenda katika nchi ya Moab.umbali wa kama mile 30 au mwendo wa siku 7-10 kwa kutembea..🚶🚶🚶🚶 akiamini kupata chakula huko🍹🍞
 
Walikaa huko na Elimeleki akafa.
Wale wanae wawili wakao wanawake wa Moab..Opra na Ruthu.💃💃; wakaishi miaka 10 ya ndoa.
 
Baadae wale wanawa Naomi nao wakafa.💀
 
Akabaki  Naomi na wakweze.
 
Naomi akaamua kurudi KWAO Bethlehem maana alisikia Bwana ameutembelea mji kwa chakula(njaa imeisha)😋🌽🍇🍎.
Nacho kilikua kipindi cha mavuno.
 
 
FUNZO:
Elimeleki alikimbia mbali na Mungu(nchi ambapo Mungu aliwapa) kwa sababu ya njaa na badala ya kufanikiwa alikoenda aliishia kukutwa na mauti yeye na wanae..
Tunaona pia Abraham alikimbia njaa kufika Misri mkewe nusu wamuoe,Mungu akaingilia kati😳
Mwana mpotevu nae alikimbia nyumbani akidhan ataenda kufanikiwa zaidi huko mwishowe alirudi hom mikono mitupu🤔

 Uweponi mwa Mungu ni mahali salama hata kama tunaona mambo ni magumu,,tuchikilie tu Bwana atakukumbuka tuuu..huko Moab hakuna jema😟

KWA UPANDE WA MAMA MJANE-NAOMI.
 
Wakweze Naomi walikubali Kwenda nae Bethlehem,ila Naomi aliwasihi sana wabaki maana walikua bado wadogo hivyo walipaswa waolewe nao wawe na familia zao.
Mkwewe mmoja(Opra) akakubalkubaki🙋
Lakini mkwewe wa Pili(Ruthu) akakataa..akataka Kwenda na Naomi.
 
NAOMI
Alikua mwanamke aliyemjua Mungu wake,aliyeishi kwa Upendo na wakweze na kuwajali na kuwatendea mema.
maana waliishi nae zaidi ya miaka kumi,na bado walitaka kuendelea kuishi nae👍
Hata ulipofika wakati wa kuachana nae ikawa ngumu.
 
 
FUNZO:
Mwanamke anayemcha Mungu hutachoka kuishi nae.
Kwa kuwa Moyo wake wakati wote umejaa upendo na ukarimu.
 

 SURA YA PILI:

 Naomi na Ruthu wamefika Bethlehem ni kipindi chmavuno🌽🍇🍎
Lakini wao hawakuwepo nchini kwa miaka mingi hivyo hawakua wanacha kuvuna🤔
 
Ikabidi waende kuokota masazo kwenye mashamba ya watu(ILIKUA DESTURI kwa Waisreal kuwa kipindi cha mavuno walipaswa kuacha mabaki ili wahitaji na wasiojiweza waweze kupita kuokota mabaki lau wajipatie chakula)🍠🌽
 
Hivyo Naomi akamwambia mkwewe Ruthu akafanye hivyo.
Ruthu akatii..
akaenda..kweli akapata masazo🍒
 
Na akaenda akiokota hadi akafika shamba la Boaz(ndugu wa Mume wa Naomi)👴
 
Ndipo Boaz katika kufanya Partol akamwona Ruthu..akauliza huyu nani!? Akaambiwa kuwa ni nkwewe Naomi Mke wa Nduguyo!
Ndipo akamruhusu kukusanya masazo katika shamba lake.
 
KESHO yake Ruthu akaruhusiwa kukusanya tena zaidi na akaambiwa asiende shamba lingine awe anakuja kukusanya shambani kwa Boaz tu😉😉😉☺ ☺
Na akakusanya masazo yapatayo EFA moja(sawa na ujazo wa njoo ya Lita 22)🌽🌽🌽🌽🌽🌽🌽🍠🍠
 
lakini pia tunaona Boaz alikua tayari na CV ya Ruthu(2:11) 📝 na habari ya Yale Ruthu aliyomtendea Naomi.
 
 
FUNZO:
 Tusichoke kutenda MEMA kwa watu Mungu alioweka maishani mwetu..kwa sabbu hujui ni yupi Mungu atamtumia kama mlango wa Baraka kwako.
Watu wanaambiana!
Unapotenda mema au mabaya kwa MTU,huwa anasema.
Naomi aliwaambia watu wa kwake Yale Ruthu aliyomfanyia japokua Ruthu hakujua lolote😊

 
SURA YA TATU:
😀Hapa tunaona WEMA unajibu!
Naomi anamrudishia Ruthu 'fadhila'💃
Naomi anampa Ruthu 'mchongo' wa kutoka kimaisha😀😀😀
Ruthu anafuata maelekezo yooote bila kuongeza chumvi😉 😉
Ila tunaona pia baada ya Boaz kuelewa ndipo anamwambia Ruthu kuwa atafanya kama ilivyodesturi.
WAKATI ULE  mwanamke akifiwa na mumewe ndugu qa karib hununua like shamba pamoja na Mke na kuwamiliki.
Hivyo Ruthu Kwenda kwa Boaz usiku ilikua ni kutengeneza mazingira ya ile desturi kufanyika sawa na maelekezo ya mkwewe!
 
FUNZO:
 Wema hauozi!
Naomi aliamua kumrudishia Ruthu wema.
Maandalizi yanapokutana na Fursa huzaa bahati🤓

Ruthu alijiandaa kwanzia kwenye kutenda mema Mpaka kujiandaa kabla ya kuingia kwa Boaz====ndipo fursa ilipojitokeza,Ruthu akapokea sehemu yake💃😊
 

SURA YA NNE:
 
Ndipo Boaz akaitisha kikao cha kununua ardhi ya Naomi pamoja na yeye na mkwewe.👭🙇
Ndugu aliyekua wa karibu zaidi kwa Elimeleki akakataa kununua,,ndipo Boaz aliyekua anafuatia kwa ukaribu,akakubali kulinunua!
🤑🤑 akanunua shamba pamoja na Mali zake zote(Naomi na Ruthu) 😆😆
Boaz akamchukua Ruth kama mkewe,
Tangu siku ile maisha ya Ruth na Naomi yakabadilika😀😀😀 😀
Boaz na Ruth wakajaliwa mtoto mmoja wa Kiume wkaamwita Obedi(amabe alikuja kuwa babu yake Daudi)
Na Naomi akawa mlezi wa Obedi mjukuu wake😊😀😆
 
 
BOAZ:
 
Alikua mtu tajiri sana,
 
Alikua na hekima, ( tunaona hakumwingilia tu Ruthu Bali alifuata desturi,pia alipoitisha kikao hakusema kama alimtaka Ruth Bali aliwaambia ni habari za kuuza shamba)
 
Alikua mkarimu ( alimruhusu Ruthu kuendelea kukusabya masazo shambani mwake)

 ========
MWISHO
========
~Na Mwl Minna.
 
Facebook: minna matee wa victor.
Watsap: +255 753 008 212
 
 
(Karibu katika program ya kujisomea Biblia, kama unataka kuwa sehemu ya kundi hili unaweza kuwasiliana nami kupitia email, Watsap au facebook address hapo juu)

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...