Ukiwa na mtoto wako ambae hamjawahi kuonana kwa sura lakini huwa mnaongea kwenye simu,na huwa unamwambia ulivyo.
Huwa anakusoma maana ulimpa kitabu ili akusome ajue ulivyo.
Na kila wakati akikuuliza unafanana na nani?nini?
Unamwambia #Haufananishwi!
Huwa anakusoma maana ulimpa kitabu ili akusome ajue ulivyo.
Na kila wakati akikuuliza unafanana na nani?nini?
Unamwambia #Haufananishwi!
Na unamwambia asiweke chochote kama mfano wako maana haufanani nacho kabisa.
Anajaribu kuchukua ng'ombe akizani utakua unafanana nae,
Ila unamwambia #Haufananishwi
Anajaribu kuchukua ng'ombe akizani utakua unafanana nae,
Ila unamwambia #Haufananishwi
Anaendelea na kuangalia labda ni jua au mlima mkubwa lakini unamwbia hapana! #Haufananishwi
Au unajaribu kuhisi atafanana na Mali au pesa lakini anakwambia hivyo vyote navimiliki na siwez kufanana navyo.
Au unajaribu kuhisi atafanana na Mali au pesa lakini anakwambia hivyo vyote navimiliki na siwez kufanana navyo.
Au sanamu ya mzungu mwenye nywele ndefu na ndevu labda ndio mfanano wako ila unamwambia Haufananishwi!! Unaendelea kumwambia kuwa #Haufananishwi kamweeee!
#Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristu ni mkuu sana.
YEYE NI BABA YETU NA SISI NI WATOTO WAKE.
YEYE NI BABA YETU NA SISI NI WATOTO WAKE.
YEYE ALIUMBA KILA KIUMBE TUKIONACHO,KILA KITU KILICHOPO YEYE AMETENGENEZA.
ANAWEZAJE KUFANANA NAVYO?
Aliyetengeneza simu anaweza kufanana na simu?? Au use me fundi anafanana na nguo?? Au mjenzi anafanana na matofali??? Haiwezekani!
Mungu hafananishwi na chochote.