Monday, November 2, 2015

Unapoanza kuona Majitu,,jua unakarikibia kuingia Kanani!!






Kama bado hujaanza kuona majitu, bado una safari ndefu..kwa sababu majitu yako Kanani sio jangwani!!

Unapoyaona sasa, usijione kama panzi mbele yao, kwa sababu ndivyo watakavyokuona pia!!!

Majitu yasikutishe,,kwa sababu uliye naye ana nguvu kuliko hayo majitu!!

Usisahau kuwa Kanani kuna Maziwa na Asali,,sio majitu tuuu!!!

Hayo majitu ni ya muda tu, na unapaswa kuyaangamiza, na umepewa uwezo wa kuyaangamiza, ili upate hayo Maziwa na Asali ya Kaanani!!!

‪#‎NenoLaMunguTamuuu‬#

~Mwl Minna

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...