Kama bado hujaanza kuona majitu, bado una safari ndefu..kwa sababu majitu yako Kanani sio jangwani!!
Unapoyaona sasa, usijione kama panzi mbele yao, kwa sababu ndivyo watakavyokuona pia!!!
Majitu yasikutishe,,kwa sababu uliye naye ana nguvu kuliko hayo majitu!!
Usisahau kuwa Kanani kuna Maziwa na Asali,,sio majitu tuuu!!!
Hayo majitu ni ya muda tu, na unapaswa kuyaangamiza, na umepewa uwezo wa kuyaangamiza, ili upate hayo Maziwa na Asali ya Kaanani!!!
#NenoLaMunguTamuuu#
~Mwl Minna
Usisahau kuwa Kanani kuna Maziwa na Asali,,sio majitu tuuu!!!
Hayo majitu ni ya muda tu, na unapaswa kuyaangamiza, na umepewa uwezo wa kuyaangamiza, ili upate hayo Maziwa na Asali ya Kaanani!!!
#NenoLaMunguTamuuu#
~Mwl Minna