Wednesday, June 11, 2014

KUMTUMIKIA MUNGU NI FAIDA KUBWA!!

 
Kumtumikia Mungu ukiwa kijana ni raha sana! kuna stage ukiruka kuzirudia ni gharama nyingine, ujana ukiwa na Yesu ni faida kubwa mno..uamuzi ambao sitakaa niujutie ni wa kuamua kumpa Yesu maisha yangu! from day 1 sijawai kufikiri kurudi Misri, forward I go kuelekea kwenye hatma yangu. Asante Yesu kwa kuniokoa ningali binti, nitakutumikia siku zote za maisha yangu#iLoveJesus#
 
 

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...