Saturday, November 15, 2014

SOME OF THE BOOKS WRITTEN BY DR. MYLES MUNROE DURING HIS LIFETIME

 
 
Here are some of the books that Myles Munroe wrote in his lifetime, He wrote more than 40 books where some are translated in other languages.
the Legacy left through his books has and will transform generations!!
 































































DR. MYLES MUNORE (1954-2014) ~A HERO OF FAITH (GOD'S GENERAL)

Myles Munroe, (20 April 1954 – 9 November 2014) was a Bahamian Evangelical Christian evangelist and ordained Pentecostal minister who founded and led the Bahamas Faith Ministries International (BFMI) and Myles Munroe International (MMI).




He was chief executive officer and chairman of the board of the International Third World Leaders Association and president of the International Leadership Training Institute as well as the author of numerous books.

Munroe died with his wife and 7 others in a private plane crash on 9 November 2014.

Born Myles Egbert Munroe in 1954 in Nassau, Bahamas, Munroe grew up poor in a family of eleven children. Raised in the Nassau suburb of Bain Town, he was a life-long resident of the Commonwealth.

Munroe became a Christian during his teenage years, later attending Oral Roberts University (ORU) where he received his Bachelor of Fine Arts, Education, and Theology in 1978  and a Master’s degree in administration from the University of Tulsa in 1980.
Munroe was also the recipient of honorary doctoral degrees from various schools of higher education and served as an adjunct professor of the Graduate School of Theology at ORU.

His wife, Ruth Munroe, served as co-pastor with him at BFMI. Together, the couple had two children, Myles, Jr. (known as Chairo), and a daughter, Charisa

Dr. Myles and Mrs. Ruth Munroe
 

Dr. Myles Munroe with the son Chairo Myles Munroe Jr. and daughter Charisa Myles Munroe.
 


Munroe and his wife were reportedly killed in a private plane crash during airport approach on 9 November 2014. Bahamian officials stated their aircraft struck a crane at a ship yard near Grand Bahama International Airport. Munroe and the other passengers were en route to Freeport, Grand Bahama for a conference.
the team of those who died on the plane crash with Dr. Munroe


THEY ARE ALL REMEMBERED FOR THE IMPACT THE LEFT TO THIER GENERATION.

"The greatest trrgedy in life is not death, but life without a purpose"~ Dr. Myles Munroe.


Wednesday, October 15, 2014

ASANTE YESU!

Ni Album mpya kabisa inayoenda kwa jina la "ASANTE" yake Firmina Matee.
Ina nyimbo nane za kumsifu na kumwabudu Mungu.
Pata nakala yako kupitia +255 753 008212,umwabudu Mungu kwa nyimbo hizo.
 

Saturday, August 16, 2014

PALILIA MBEGU ILIYO NDANI YAKO!

Habari ya Asubui msomaji wangu,

Asubui ya leo nimeona ni share nawe jambo hili kwa ufupi, naamini  litakutoa mahali na kukupeleka mahali.

Kwanza kabisa KILA mwanadamu anakitu ambacho Mungu ameweka ndani yake.yaani kila mwanadamu ana talent ambayo Mungu alipomuumba aliiweka ndani yake.

Na kila kitu ambacho Mungu ameweka ndani ya mwanadamu ni kwa kusudi maalumu, na kazi maalumu.

Kitu hiki ni kama mbegu.Wote tunajua mbegu ndogo yaweza kuzaa msitu mkubwa.na kwa mbegu moja tu iliyopandwa mahali leo hii tunaona misitu mikubwa sana.

Ndivyo ilivyo kwa vile vitu Mungu alivyoweka ndani yetu. Ni mbegu tu.



Wengi wetu huvidharau na kuona kama sio kitu kwa sababu tunataka kuuona msitu mkubwa,badala ya kuitunza ile mbegu na kuimwagilia na kuipalilia ikawa msitu mkubwa.

Mbegu hizi kwa wengine kugundulika kwa haraka sana, na mapema sana katika maisha yao, lakini kwa wengine huwa zimejificha na huenda kugundulika baadae sana maishani.

Hii ni kutokana na makuzi, mazingira tunayoishi na watu wanaotuzunguka.

Kama ambavyo ili mbegu istawi inahitaji mazingira sahihi, kumwagiliwa na kupaliliwa,hali kadhalika na kile kilicho ndani yako kinahitaji mazingira sahihi, watu sahihi na ufahamu sahihi ili kikue.

Ni jukumu la kila mtu alyeokoka kuchochea kile kilicho ndani yake kwani ni Agizo katika NENO LA MUNGU.
Mwanzo1:28,
Mungu akawabariki na Mungu akawaambia: “Zaeni, muwe wengi, mjaze dunia na kuitiisha, na mtawale samaki wa baharini na viumbe vinavyoruka vya mbinguni na kila kiumbe hai kinachotambaa juu ya dunia.

Zaeni, maana yake iko mbegu ndani yako,ambayo yapasa kuzaa na kuongezeka, si tu kuongezeka bali kujaa katika mazingira ilipowekwa.

Tumewekwa Duniani kuzaa na kuongezeka katika vile vitu Mungu alivyoweka ndani yetu. Huwa tunautumia huu mstari kwa habari ya kuzaa watoto, na kuongeza familia, ila tukiutazama kwa mapana zaidi, ni kuzaa na kuongezeka kwa vile vitu Mungu alivyoweka ndani yetu.

Jua tu kwamba ndani yako kuna kitu ambacho hakuna mwanadamu aliyenacho, na hatatokea mtu mwenye nacho.

Uliwahi kujiuliza kama William Gilbert na wenzake wasingepalilia mbegu iliyokua ndani yao leo hii huenda tusingekua na umeme huenda tungekua bado na vibatari, na chemli!

Au umewahi kujiuliza kama Arl-benz,Gottlieb Daimler na Whilliam Maybach wangenyamaza kimya bila kuikuza mbegu iliyokua ndani yao na kugundua ingine ya magari, leo hii tusingekua na magari huenda tungekua tunatumia punda na farasi hadi leo!

Amazingly, umewahi kujiuliza kama Mark Elliot Zuckerberg asingepalilia mbegu yake leo hii tusingekua na Facebook.Achilia mbali akina colgate,Heitz, Toyota na wengine wengi walioamua kpalilia mbegu zilizokua ndani yao na hatimae kuwa msitu mkubwa!

Mwenzetu Azam, kauteka uchumi wa jiji la Dar kwa asilimia kubwa kwa vile tu alijua kuna mbegu ndani yake na akiimwagilia tu itakua msitu mkubwa!Na leo tunaona msitu wake ulivyo mkubwa!
Si zaidi sana kwa Wana wa Mungu!!!!!!!!!!!!!!

There is greatness in each one of us! ni kitendo cha kuamua tu!AMUA LEO KUPALILIA MBEGU ILIYO NDANI YAKO, NA UTAZAA MSITU MKUBWA, UTAKAO WASAIDIA WENGI!

Kwa leo niishie hapo..

Ubarikiwe sana Mtu wa Mungu.

Uwe na jumamosi yenye baraka.

Nakupenda!

Firmina!



Wednesday, June 11, 2014

KUMTUMIKIA MUNGU NI FAIDA KUBWA!!

 
Kumtumikia Mungu ukiwa kijana ni raha sana! kuna stage ukiruka kuzirudia ni gharama nyingine, ujana ukiwa na Yesu ni faida kubwa mno..uamuzi ambao sitakaa niujutie ni wa kuamua kumpa Yesu maisha yangu! from day 1 sijawai kufikiri kurudi Misri, forward I go kuelekea kwenye hatma yangu. Asante Yesu kwa kuniokoa ningali binti, nitakutumikia siku zote za maisha yangu#iLoveJesus#
 
 

MWAPOTEA KWA SABABU HAMJUI...

Mara nyingi usichokijua huwezi kukifanya wala kukisema! kwa sababu hukijui. Yesu anawaambia wanafunzi wake, baada ya wao kushindwa kujua hat...